DENIS MPANAGZE - TAFUTA PESA KWANZA ILI UHESHIMIKE
HTML-код
- Опубликовано: 10 апр 2025
- #Uhaimedia
CONTACT UHAI MEDIA +255 755 450 225
+255 752 348 789
MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU
• MCH:DANIEL MGOGO-ANZA ...
HABARI
• RPC TABORA:HUTAUONA MW...
FIKIRI TOFAUTI
• MWL:DEUS KANUNU-BIASHARA
MAKALA FIKRA TUNDUIZI
• DENIS MPAGAZE-UKISUBIR...
SHUHUDA
• EXCLUSIVE NA MKE WA MA...
FAHAMU ZAIDI YA JANA
• FAHAMU ZAIDI YA JANA: ...
SIMULIZI ZA VITABU
• MWANAMKE ALIYEPATA MAT...
BIBLIA YANGU
• BIBLIA YANGU-HAPO MWANZO
NYIMBO ZA INJILI
• PAULCLEMENT -MUNGU AWE...
Denis mpagaze anaeleza ukweli halisi katika maisha. Mungu amjalie aendelee kuifundisha jamii
Kama unamkubali denis mpagqze gonga Like
Tanzania have legends... UK tunakusikiliza kaka
@@akonchris6692 ßàAà
Mimi namkubali sanaa
𝒏𝒂𝒎𝒖𝒌𝒖𝒃𝒂𝒍𝒊 𝑫 𝑹 𝑪
Amini Amini Kwamba,Pesa Kama Pesa Pesa Ni Muhimu Kuliko Watu🙌🙌
Yes
Pesa ina mamlaka yakuamlisha mapepo yanyamaze🙌
Shukran kaka mwenyezi mungu akuzidishie maishani 🙏🙏🙏❤️
Nilikuw nshazmimss hz vtu😋😋 nkajua hata Denis mpagaze alipgwa bit na CCM
Mungu akupe maisha marefu denis
Wa chunya mbeya bro nataman uanzishe semina wilayan ili elimu ya maisha itukae vizur
Haujawahi kufeli Denis mpagaze na talented ananias edger
Daaaah kweliiii kabsaaa
U ar talented bro more support from 🇿🇲 Zambia 🇿🇲
Nakukubali sana kaka angu natamanii kusikiliza storry zako kila muda❤❤❤
asante sana kaka umeni saidia sana kaka🎉🎉
Mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah
Mungu akubaliki
Kweli kabisa...umetwambia kweli...from kenya
N kwel jaman
Unajua sanaaaaaaa wejamaaaaa
Denis mpagaze 🎉
Uko Moto kaka ....I have listened to this more than twice
kweli kabs kaka Dar tusake pesa jmn wanaume wezangu
Hishima yako mwishimiwa asante kwa funzo chanya
Unajua kaka mm sikupingii
Nkbl sana kaka yaani haipit sk sjaskiliza hakika uko vizuli na najifunza mengi pia asante sana kazi nzuli pambana mungu yu pamoja nawe
Unayafanyia kazi au unasikiliza tu
Unapiga kwenye mshono kaka😅😅
Kaka mola utakacho ;amina
Tafuta pesa upunguze kumuita kila mtu mkuu nakubari
Bw Denis namba unatmka harakahara naomba niandikiye namba nataka vitabu
Nikweli kabisa broo. Hahaha na umenifurahisha Sana kuhusu ndala za rangi tofauti. Nilipokua nasikiliza story yako nilikuwa kwenye nyumba ya wageni nimetoka kuoga na nimevaa ndala za rangi tofauti. Kabla sijasikia story yako nilikuwa nijiuliza ni Kwanini waliweka hapa ndala za rangi tofauti kumbe mananaake nihivyo. Nilicheka Sana
😂😂😂
Kama unampenda Denis mpagaze like
😀niuweni niuweni dah hatari 🚶
Imeshanikutu Denis Asante sana
We jamaa unajuaa aisee
Wewe ni zaidi ya mwalim zaidi ya mchungaji
Hii makala nimeikubali sana ....
Na usipokuwa na pesa utaitwa mhenga kweli
😂
Kwel dingi 😢 nakubali
Tafuta pesa kiukweli jmn nakukubali mnoo💪💪💪💪
Huu ndo Ukweli wenyewe sasa 💞 Tutafute pesa hakuna namna ✊
Sana tu
Me nlisoma.na.mjukuu wa kikwete
Ukweli bro kazi safi niko 🇰🇪
Nikweli kaka pesa ndio mpango mzima
Kweli bro.najidaiti sana
Kaz nzur sana brother
Qatari Ababa umeua
Kaka hii yenyewe sana nimesikiliza mpaka mwisho huna baya
Du pesa ndo kila kitu
Nzuri sana, endeleeni kutupo funzo
Gud sana broo umeongea kwelikweli Ahsante sana.
It is very true, masikini hatembelewi.very true bro.
Hhaaa safiiiii sanaaaah
😂😂 huwaga hainichoshi aise
Huyu jamaa anatoa elimu
Upo vizuri sana denis
Swadakta uko sahihi
Ananias you are the best
Big up brother 👍👍👍
Hii inatia nguvu
Safi Sana mpagazi
Nimeipenda bure kk denis we noma
Tafuta pesa mwanngu ili mkeo asikuchonganishe na wanao
Tafuta kwanza Ufalme wa Mungu, mengine yote utazidishiwa...
Tafuta nyote
Ohoooo.....nakuelewa sana broooo
tutafute pesa sisi wanaume
Asante
Nice broo
True information
I lov u bro
Tumeelewaaaaaa
Ati ndugu zako watakunja madhisi ukifa usipokua na pesa😄😃😀😂
Kweri mzeee baba
No way out tutafute pesa
Nikwel mkuu
Kaah maskini haaminiki adi gesti kumbe wana weka ndala zime tobolewa ili ijulikane ni za gest ziki ibiwa🤣🤣😂
Hàkika pesa ndo kila kitu
Uko juu kaka
Pamoja bro
Dah acha ttafte pexa yanachekexha lakin ndo ukweli wake ! Chungu lakin ndo Dawa..
Asanti mkuu, umesema ukweli mtupu.
Sawa nakusoma sana
like it
Pesa muhimu sana
kabisa
Pesa ndo CV ya mwsho
Kubwa sana hii
Usipokuwa na hela utaitwa muhenga🤔🤔🤔🤔
Tafuta pesa
Nimejifunza ki2
Kiru gan ndugu
Tafuta pesa mwanangu🤣🤣🤣nakukubali
Tafuta pesa uache kupost mpesa number😂😂😂
jamaa anajua
Inspiring
😂😂😂niueni niueni niueni jaman tutafte pesa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣😆😆😆hili swala ni sahihi
🤣🤣🤣
😂😂 usipo kuwa na pesa, lazima uwe na hasira kila wakati.
😄 kweli kabisa😥
Hapo kwenye gest ni soo
Kweli tena
Nimecheka ila nimejifunza
Funzo poa
Endeleya baba kutupa Mambo mazima
Bro naomba nifwate inbox
Leo umpta mule mule mama ni bora ila wtu wengi tunamsahau baba kwmba yy anlta msosi home
Hii ni ukweli usio fichika nimefurahi Sana kwakuwa umewaambia wanaume wa Tanzania ukweli
Oooky
Daaaah nimeipend hiyoooooo
Du nihatar
Ukweli mtupuu